MAKAMU WA RAIS WA SMZ ATEMBELEA KITUO MAHIRI CHA KUTUNZA TAARIFA ZA KIMTANDAO -IDC
![]() |
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano(sekta ya Mawasiliano), Bodi ya Wakurugenzi ya TTCL, Wafanyakazi wa TTCL na wageni kutoka Wizara mbalimbali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, baada ya kukamilika kwa ziara kutembelea IDC. |
kwa mahitaji passport size,green card ,passport za kusafiria usisite kupitia visafoto.com
ReplyDelete